Habari wanaJF,
Naam kama title inavyojieleza hapo juu. Bila shaka sote tushakutana na ndugu, jamaa ama rafiki mwenye tabia ya namna hii, unapomuomba ushauri au kutaka kumshirikisha katika jambo atakujibu short tu "Achana naye", "Mpotezee" au "Potezea".
Kwa uelewa na uzoefu wangu mdogo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.