Hakuna furaha bila pesa. Zunguka tu ila pesa ndiyo furaha. Unadaiwa kodi ya nyumba, hakuna msosi ndani, familia haijavaa, huna kiwanja, mtoto wako hapenzdezi, wazazi wako macho kwako, mke wako hujamhudumia. Hiyo furaha utaitoa wapi?
Mfano mzuri ni timu yetu ya taifa, wachezaji ni wakawaida kabisa yani viwango vyao ni vidogo ndiyo maana hata kutoka nje ni changamoto.
Pili wachezaji wa Kitanzania 90% hawajitambui mfano:- Ibrahim Ajib.
Angalia Morrison licha ya ujinga ujinga wake ila anawatesa vigogo wa soka hapa nchini.
Kama DTB iliamua kujitoa je fedha za kuendesha timu Mnatoa wapi?
Kama inamilikiwa na watu je unaweza kututajia Wakurugenzi wa timu yenu?
Bajeti yenu ya msimu wa 2022/2023 ni shilingi ngapi?
Malengo ya klabu kwa miaka mi tano (5) ni yapi?
Ushauri:-
1. Kati ya Kulwa na Ndoto msichague mmoja wa kumkazia.
2. Muwe watu wa kufanya fitna.
3. Msiwe watu wa porojo mitandaoni, wekezeni kwenye vitendo zaidi hapo ndo mtavuna mashabiki kwa wingi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.