Laana ya
Laana ya Mungu iwapige watu kama hawa na kizazi chake chote. Wizi wa fedha za wastaafu ni watu kulewa madaraka waliyonayo kwa maana wao hakiwagusi. Kama hakina madhara kwa nini isiwe kwa watumishi wote?.
Wahuni ni wengi mandamano hayakuhusu unaumia na nini?. Kula kuku kwa Mbowe hakuna tofauti na wanaotaka kununua ndege ya viongozi wakati maisha ni magumu sukari tu ni shida je, maji, umeme vipo kwa hawa wasiokula kuku?.
Ni bora zipigwe kimyakimya kuliko kupigwa kwa urafi na matangazo huku watu wakiwa gizani ni aibu. Je wanaokula kwa kupiga kelele wamelifanyia nini Taifa hili?.
Na ndio maana kwa sasa makonda ni kimbilio la watu wenye shida mbalimbali hususani za kimahakama, viongozi wengi shauri ya umaskini wapo kupongeza tu badala ya kutimiza majukumu yao.
Hawa ndio wateuliwa wetu wamekosa hekima, hawajui kuwa aliyesema usizini ni huyohuyo alisema usiue, usiibe, usiseme uongo kwa hiyo dhambi siyo uzinifu tu acheni kuwadharirisha mama zetu. Kuna mapungufu mengi ya nchi yanayotakiwa kufanyiwa kazi.
Hizo ni kampeni tu wanafiki wakubwa hao, kwa ujinga wetu tunawashangilia, hawana lolote kama ni hali mbaya mbona wanapitisha mafao ya viongozi wenza ambao ni uhuni tu wa kuiba mali ya umma
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.