Jana natoka zangu job jioni niko kwa hiace nimekaa na dada mmoja seat ya pembeni. Kasinzia hadi ananiegemea; nikaona isiwe kesi, kidume nikakaza tu kibingwa.
Sasa tumefika kituo fulani konda anauliza kuna abiria ana-drop, yule dada si kashtuka usingizini karopoka, "hee! jamani vaa condom...
Basi bana leo niko zangu home nimelala mida ya mchana mchana hivi baada ya njaa kunitandika kinoma nikaona nijiegeshe kwa bed nivute vute muda wa menu liive kwa kwasababu beki 3 alikuwa jikoni anafanya mambo.
Nimelala kuanzia mishale ya saa 7 mchana mpaka nakuja kushituka mishale ya saa 9 kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.