Search results

  1. Siasa mbaya sana

    Hivi kuna maisha baada ya kifo?

    Hakuna maisha baada ya kifo bali kuna maisha baada ya ufufuo., Haiwezekani mtu kuishi akiwa amekufa,na ili mtu huyo aishi ni mpaka afufuke tena
  2. Siasa mbaya sana

    Vitabu vya Dini vina Mafumbo kana kwamba ukiwa Kichwa nazi uwezi kuelewa au utaelewa tofauti

    Biblia siyo kitabu cha dini. Na ninaweza kuthibitisha hilo.
  3. Siasa mbaya sana

    Afrika tutapata maendeleo endapo tutawapa wazungu nafasi ya Urais na Mawaziri

    Hakuna maisha baada ya kifo Bali kuna maisha baada ya ufufuo
  4. Siasa mbaya sana

    Afrika tutapata maendeleo endapo tutawapa wazungu nafasi ya Urais na Mawaziri

    hapo kwenye wenyeji ni uraia/citizenship,,IPO hivi hapo kuna kitu kinaitwa ufalme wa mbinguni Tulipotawaliwa na waingereza kwamfano tulikuwa ni raia wa ufalme wa uingereza japokuwa tulikuwa mbali na uingereza kama koloni Lao. Haina maana ya kwenda mbinguni kuishi Bali sisi ni raia wa mbinguni...
  5. Siasa mbaya sana

    Afrika tutapata maendeleo endapo tutawapa wazungu nafasi ya Urais na Mawaziri

    Amina. ila Mpango wa Mungu sio mwanadamu akae mbinguni mtumishi.
  6. Siasa mbaya sana

    Enyi Manabii wa kizazi kipya ni kweli mmepewa nguvu na Mwenyezi Mungu, au ni ushirikina tu?

    Mark this day brother..pia nakubali kwa sababu wewe siyo mtu wa dini wala madhehebu..upo sahihi kabisa kwasababu unaenda kuelewa kila kitu.
  7. Siasa mbaya sana

    Enyi Manabii wa kizazi kipya ni kweli mmepewa nguvu na Mwenyezi Mungu, au ni ushirikina tu?

    Siyo mbaya,naamini utaelewa nachotaka uelewe. Weka alama hii siku,weka alama hii siku
  8. Siasa mbaya sana

    Enyi Manabii wa kizazi kipya ni kweli mmepewa nguvu na Mwenyezi Mungu, au ni ushirikina tu?

    Kwahiyo mabaya yanasababishwa na natural laws na siyo kutokuwepo kwa Mungu?
  9. Siasa mbaya sana

    Enyi Manabii wa kizazi kipya ni kweli mmepewa nguvu na Mwenyezi Mungu, au ni ushirikina tu?

    Kwahiyo kama Mungu hayupo na mabaya yapo,inabidi tumuulize mwanadamu ambaye yupo.. Nakuuliza sasa Kiranga kwanini kuna mabaya?
Back
Top Bottom