kiukweli najiona mjinga mimi,ndo maana nimetafakari ili nitafute mwelekeo sahii, ili watoto wabatizwe niachane nae nirudi kanisani watoto wabatizwe wakue kikristo au tufunge ndoe watoto wabatizwe. au nikae nae hivihivi na ndugu zangu wasitutambue na watoto wasibatizwe.
kiukweli najiona mjinga mimi,ndo maana nimetafakari ili nitafute mwelekeo sahii, ili watoto wabatizwe niachane nae nirudi kanisani watoto wabatizwe wakue kikristo au tufunge ndoe watoto wabatizwe. au nikae nae hivihivi na ndugu zangu wasitutambue na watoto wasibatizwe.
Hivi maana yake nini, unaishi na mwanaume miaka 5 mmezaa watoto wawili,kiuchumi kidogo mnajiweza, lakini hataki kutangaza ndoa, kwenda kwenu wala kukupeleka kwao. na kila siku yupo busy na bint huwa anadai ni x-girl friend wake, ampigie simu,amtumie ela, amfanyie kazi zake za shule. anadai...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.