Search results

  1. E

    Ndoa au ujinga?

    Nimeshawashirikisha rafiki yake yeye na mwingine rafiki yetu wote, hata wao mpaka leo wananambia wanaona utata wakiongea nae anacheka yanaisha.
  2. E

    Ndoa au ujinga?

    kiukweli najiona mjinga mimi,ndo maana nimetafakari ili nitafute mwelekeo sahii, ili watoto wabatizwe niachane nae nirudi kanisani watoto wabatizwe wakue kikristo au tufunge ndoe watoto wabatizwe. au nikae nae hivihivi na ndugu zangu wasitutambue na watoto wasibatizwe.
  3. E

    Ndoa au ujinga?

    kiukweli najiona mjinga mimi,ndo maana nimetafakari ili nitafute mwelekeo sahii, ili watoto wabatizwe niachane nae nirudi kanisani watoto wabatizwe wakue kikristo au tufunge ndoe watoto wabatizwe. au nikae nae hivihivi na ndugu zangu wasitutambue na watoto wasibatizwe.
  4. E

    Ndoa au ujinga?

    Hivi maana yake nini, unaishi na mwanaume miaka 5 mmezaa watoto wawili,kiuchumi kidogo mnajiweza, lakini hataki kutangaza ndoa, kwenda kwenu wala kukupeleka kwao. na kila siku yupo busy na bint huwa anadai ni x-girl friend wake, ampigie simu,amtumie ela, amfanyie kazi zake za shule. anadai...
Back
Top Bottom