Nasikitika hadi sasa Tanesco - mkoa wa Tabora hasa Tabora mjini bado mnafanya mambo ya urasimu, watu ni wengi sana waliiomba kupatiwa huduma ya umeme na shirika likatoa tathmini ikiwemo namba ya malipo (control number) watu wamelipa lakini kupatiwa huduma ya umeme inashindikana, visingizio vyenu...
Habari...
Hoja zangu ni mbili tu ambazo ziko mkoa wa tabora (Tabora mjini)
1. MUDA WA KUUNGANISHIWA UMEME BAADA YA MALIPO
Hivi kwanini mtu analipia pesa kwa ajili ya kuunganishiwa huduma ya umeme lakini inachukua muda mrefu kuunganishiwa umeme?
Haiwezekani, mnatoa quatation na control...
Ikifika saa moja usiku, unaona polisi wako busy sana na pikipiki zao maarufu kama PT lakini hatuoni matunda yao, naona wako busy sana kuhangaika na boda boda tu na kusahau wajibu wao nini
Salama?
Ni wakati umefika sasa kwa chama tawala kuthamini na kujali jitihada za wasanii kwa kuweza kuwapa nafasi katika serikali na hata bungeni ili kuwawezesha wao kuweza kusimamia mambo yanayowahusu kwa ukaribu.
Nakumbuka kipindi cha uchaguzi wasanii wa maigizo, wasanii wa muziki na hata...
yametokea na maisha lazima yaendelee, asante kwa kushiriki siasa na kuamua kupumzika, acha tuendelee na mapambano lakini samahani usisite kutuombea katika mchakato huu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.