leo mida ya mchana zimetokea vurugu kati ya CHADEMA na CCM katika wilaya ya Rungwe kata ya kiwira, CCM wanagawa rushwa ili mgombea wao apite kweny uchaguzi wa diwani! Pamechimbika hadi FFU kutk jiji wameenda kutuliza! Hali si shwari kabisa, CCM kubalini kushindwa CHADEMA ni moto wa kuotea mbali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.