[emoji16][emoji16][emoji16] hii sentence imenifanya nifurahi sana. Yani ulikuwa unashindia mkate halafu unarudi nyumbani usiku unakuta ugali wa mama unakula unapunguza njaa. Sasa huko unakokwenda ukishindia hivyo mkate, ukirudi usiku room uliyopanga nani atakufadhili hiyo usiku?. Hasira siku...
Ni kweli ana shida pahali. Kuna siku alipiga simu nikiwa karibu na mtu, tangu amepiga mpaka dakika 20 inafika yeye ni kufoka foka tu. Yule mtu akasema huyu afai, muache mapema kabisa atakusumbua. Anaonekana ana shida pahali
Kudate na single father inahitaji moyo. Kutwa kulalamika tu. Sasa Bora awe single father kijana, kuliko single father mbaba, Kila muda anahisi una utoto tu, amri mbele.
Tatizo ni kwamba mwanamke alokuwa anaishi nae sogea tuishi na wakazaa wametengana baada ya yeye kufirisika. Kwa hiyo muda mw gi anaongea haamini wanawake, na muda mwingi ni gubu tu eti akiwaza pesa. Kuna siku nilimsema sana, nikwambia ukiwa na stress zako ziishie huko huko ama la Mimi na wewe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.