Wanaume fungueni macho yenu, hasa mliooa, msichana hawezi kuwa na wewe peke yako never, na yeye anaota pia kuwa na mwanaume wake wa maisha afunge ndoa azae na watoto, hawezi kukaa na wewe bila kuwa na mahusiano mengine, naongea kwa uzoefu
ahsante sana kwa ushauri mzuri dada angu, niliyafikiria yote hyo pia, naomba na Mungu awe upande wangu tu, maana im very much in love, sina la ziada nishasema yes i will
unajua nini, tujifunze kusema pia tunapopata good moment sio kulalama tu, wakati wa kulalama ukifika unalalama, wa furaha just share na watu pia thanks mzab
hahahahah thanks BAK im telling you this is not getho love, its real
muda wote yuko away, hakuna siku hajacommunicate, na a lote
of romantic staff aishhh ahsante yesu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.