Search results

  1. ZIWATANGANYIKA

    Mtendaji wa kata ya Kwakilosa Iringa Bi. Upendo Msafiri Amulike ajigamba hakuna wa kumtoa kata ya Kwakilosa

    [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
  2. ZIWATANGANYIKA

    Mtendaji wa kata ya Kwakilosa Iringa Bi. Upendo Msafiri Amulike ajigamba hakuna wa kumtoa kata ya Kwakilosa

    Tumejeruhiwa wengi, na au wewe unaona mi nna haki ya kufanyiwa hivyo.
  3. ZIWATANGANYIKA

    Mtendaji wa kata ya Kwakilosa Iringa Bi. Upendo Msafiri Amulike ajigamba hakuna wa kumtoa kata ya Kwakilosa

    Yaani ukija hii kata ya kwakilosa ukiuliza habari zake Ndo Utamjua.ana dharauuuuuuuuuuuu uwiiiiii
  4. ZIWATANGANYIKA

    Mtendaji wa kata ya Kwakilosa Iringa Bi. Upendo Msafiri Amulike ajigamba hakuna wa kumtoa kata ya Kwakilosa

    [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]ameshawahi kunila kichwa kwa uonevu.
  5. ZIWATANGANYIKA

    Mtendaji wa kata ya Kwakilosa Iringa Bi. Upendo Msafiri Amulike ajigamba hakuna wa kumtoa kata ya Kwakilosa

    Hii siyo mahakama serikali kazi yake nini? Tuhuma za huyu mtendaji ziko wazi sana na Mkurugenzi anazijua. Kuna kipindi hata Afisa utumishi walikuwa hawaelewni. Nimetoa mfano mwaka jana fedha za uchaguzi alidai zimeibiwa katika mazingira ya kutatanisha, na akatengeneza mazingira ya kuwa ofisi...
  6. ZIWATANGANYIKA

    Mtendaji wa kata ya Kwakilosa Iringa Bi. Upendo Msafiri Amulike ajigamba hakuna wa kumtoa kata ya Kwakilosa

    Aliekwambia hayo kakudanganya huyu mtendaji ni hatari Kwenye masuala ya hela. Uliza mwaka jana aliwapiga wenzake mpaka hela ya uchaguzi na akatengeneza mazingira ya kwamba ofisi ilivunjwa.
  7. ZIWATANGANYIKA

    Mtendaji wa kata ya Kwakilosa Iringa Bi. Upendo Msafiri Amulike ajigamba hakuna wa kumtoa kata ya Kwakilosa

    Huwezi kujua ukitaka kujua hamia huku unadhani anaonewa ila Kama ungeijua tabia ya huyu mtendaji sidhani Kama ungeyasema haya.
  8. ZIWATANGANYIKA

    Mtendaji wa kata ya Kwakilosa Iringa Bi. Upendo Msafiri Amulike ajigamba hakuna wa kumtoa kata ya Kwakilosa

    Ushahidi wa huyu mtendaji wetu hauitaji kutafutwa sana yako mengine yakisemwa hapa unaweza kuchutama. Kutaka uchunguzi siyo kumuonea wala majungu.
  9. ZIWATANGANYIKA

    Mtendaji wa kata ya Kwakilosa Iringa Bi. Upendo Msafiri Amulike ajigamba hakuna wa kumtoa kata ya Kwakilosa

    Waje kwa kilosa ushahidi siyo wa kutafuta asilimia kubwa wananchi wameumwizwa na huyu mtendaji.
  10. ZIWATANGANYIKA

    Mtendaji wa kata ya Kwakilosa Iringa Bi. Upendo Msafiri Amulike ajigamba hakuna wa kumtoa kata ya Kwakilosa

    Huyu Afisa Mtendaji wetu wa kwakilosa anazo tuhuma nyingi sana za kuonea wananchi Lakini analindwa na wakubwa. Kila Mtendaji wa mtaa anaeletwa hapa lazima ukubali kuburuzwa, ukipingana nae tu lazima uchukuliwe hatua. Yaani huyu mtendaji ni tatizo kubwa wananchi tumeomba tuondolewe Lakini...
Back
Top Bottom