Matarajio ya wapinzani wetu kwa sasa yamebaki kwa City, ambao wanategemea watashinda mechi zote huku sisi tukiambiwa tumebakiza mechi ngumu.
Wengine wanaumia kwa kutokubali kama tupo kwenye ubora kuliko timu zao na ikatokea tukashinda ligi msimu huu basi wanajua hawatopumua, na watakosa hoja...
Baba yangu mdogo popote ulipo, nipo nawe bega kwa bega. Kaka yangu wa pekee popote ulipo, bado nipo nawe bega kwa bega. Natambua mchango na mshikamano wenu mkubwa mlionipa wakati napitia kipindi kigumu, wakati ambao ndugu wengine hawakuwepo wala kutaka kusikia na baadhi walijifanya ku-support tu...
Hapo unajisahaulisha kama Gabriel Jesus alikua ndio namba 9 yetu kabla ya kuumia na option ndio ikawa Kai acheze pale.
Kwa hayo magoli/assist Kai amefaidika zaidi kwenye ushindi wa 0-6, 5-0, 4-1, 0-3 ambazo hizo mechi zote kama angekuwepo Jesus angeshinda pia and maybe more.
Wewe aliekwambia Arteta anauchungu wa timu kuliko mashabiki ni nani?
Kwahiyo Arteta kipindi anacheza mpira Everton alikua ana uchungu na Arsenal si ndio maana yake!?
Kai Havertz kwangu afunge magoli muhimu au asifunge still sio mchezaji wa kuanza mbele ya Gabriel Jesus. No fuckin way!
And so sad Arteta halioni hilo kwa kuwa he's so dumb and deaf, hataki kusikia chochote kuhusu Kai, kaweza kum sacrifice Martinelli kwa kumtoa mapema ila sio Kai. Alikuwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.