Jamani Mbona Hakuna Msaada wowote mpaka sasa hivi ambao hii familia imepatiwa? Au Kilimanjaro/Mwanga Hakuna Serikali???
NB: Namba za wahanga ni: 0766430284 0689512555 & 0672740412
Mkuu nasikitika kukuambia mpaka Sasa hv hakuna simu yoyote wahanga wamepigiwa na mamlaka!!! Sio Mkuu wa mkoa, wilaya, OCD, Usalama, wala nani! Ama kweli tusiokua na channel tunakufa kama kuku Mkuu....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.