Hodi wote wakuu! Tafadhari Sana wiki ijayo nasafari kwenda shinyanga naomba kujua ni sehemu ngani nzuri na bar gani kuna watoto wazuri kwa shy?
Nawasilisha
Mimi Ni mtanzania , umri wangu ni miaka 31 najitokeza kwenu kutafuta mke kwa aliyetayari tuwasiliane , Mimi Ni mtumishi , sichagui dini kabila ,rangi ila umri wake usizidi miaka 27.aliye serious anifuate PM
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.