Jifunze hata kuandika kwanza sio nilifikili andika nilifikiri na maisha ubinafsi ndio muongozo wake. Mfano mdgo tu huwezi kuishi nyumba aliyojenga mwenzako kwa jasho lake tafuta chako. Huwezi vuna usipo panda kama hii mifano hujaielewa wewe ni mtu wa ajabu kuwahi kutokea kwenye hii sayari
Basi kila dini ivune inapopanda. Watumishi wa kcmc wengi wamesomea kanisani sasa unatakaje wewe..? Kanisa lina dayosisi ambazo zina taasisi zake unashangaa nini. Kila dayosisi utakuta watu wa eneo husika ndio waajiriwa kwa wingi.
Uliijenga wewe kcmc unadhani inafutwa tu eeh. Tumia akili ndugu. Akili zenu ni kutaka kuvuna msipo panda. Ile nitaasisi ya dini mwanzilishi ni kkkt kajengeni nyingine muiite utakavyo na uwaajiri wa kwako. Msimamizi askofu atamuajiri vipi bwana saidi said
Mtu kama huyo una mpuuzia tu maana hajui wachaga anao wachukia ndio watz matajiri refers mzee mengi sasa anataka wazee wa slave trade (sultan said seyyed)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.