Trekta lipo Morogoro mjini(nanenane), lipo katika hali nzuri sana. Unaruhusiwa kuja kulikagua. Ni 4wd na ni 75hp. Unauziwa pamoja na jembe lake.
Bei ni 36m. Mazungumzo yanaruhusiwa. Namba za mawasiliano ni 620 559595
Habari, ningependa kufahamu kama kuna mfugaji wa bata wa aina mbalimbali ndani ya manispaa ya Morogoro.
Kama yupo, tuwasiliane niende nikamtembelee anapofugia na nitanunua bata kwake. Nimeanza ufugaji wa bata, kwa hiyo nahitaji bata wa kuanzia (si bure nitanunua tukikubaliana bei) kutoka sehemu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.