(d) WAFUNGA NDOA WASIWE MAHARIMU:
Maharimu ni watu walio na mahusiano ya karibu ya
damu au kindugu.
Wawli wanaoamua kufunga ndoa wasiwe na
uhusiano wa karibu kindugu. Inakatazwa katika
kifungu cha 14 cha Sheria ya ndoa ya mwaka
1971 mtu kuoa au kuolewa na mzazi wake, mtoto
au mjukuu wake...
Kuulizia kuwa manyema kunamishe gani ni umezingua. Ilitakiwa umcheki bhana pm mwasiliane muonane then along the way ukifika manyema mwenyewe utaangalia au kuelekezwa maana jamaa ameonesha kutaka kukuonesha njia.. Ila wewe unaleta ujuaji.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.