Search results

  1. B

    CAG Assad: Bunge letu lina udhaifu, limeshindwa kuiwajibisha Serikali kwa ufisadi

    kwa mukutadha wa wajibu wa kikatiba wa bunge kuisimamia serikali hapakuwa neno mbadala zaidi ya hilo
  2. B

    Kimaadili ya Kihasibu: Je, CAG alikuwa sahihi?

    Kama watanzania tulio wengi tunaona haliwajibiki na ni dhaifu (si mara ya kwanza madai hayo kutolewa) ni sawa hata akiliwajibisha kwa lengo la kuokjoa fedha za wananchi walip kodi
  3. B

    Kimaadili ya Kihasibu: Je, CAG alikuwa sahihi?

    Alitoa mawazo yake mahalai stahili kabisa kabisa mkutano wa dunia wa asasi zinazofanya ukafguzi wa hesabu za serikali. Kuhojiwa si tatizo na hakuna anayepinga. Kwani atapata fursa ya kulifafanulia bunge udhaifu wao kama Mhimili uanopaswa kuisimamia serikali
  4. B

    Kimaadili ya Kihasibu: Je, CAG alikuwa sahihi?

    Kwani nani kasema ana mamlka ya kuliwajibisha Bunge. Alikuwa akijibu swali kuhusu udhaifu wa kutochukuliwa hatua zozote baada ya ofisi yake kutoa ripoti zenye kuonyesha upotevu wa fedha za umma
  5. B

    Uamuzi wa Spika kwa CAG katika jicho la Prof. Albert Venn Dicey

    CAG alikuwa anhudhuria mkutano wa asisi za ukaguzi wa mahesabu ya serikali wa dunia. Na lichokiongea na waandishi wa habari ni kuhusu ripoti zinazotolewa na ofisi yake. Ulitaka asem uongo? Au unafikiri media za wenzetu nje nia kama za hapa nyumbani zinzoandaliwa maswali ya kuuliza>
  6. B

    Nasimama na Spika Ndugai

    Waandishi wa habari wa nje sio kama wa hapa kwetu ambao hutayarishiwa maswali ya kuuliza?
  7. B

    Nasimama na Spika Ndugai

    CAFG alikuwa akihudhuria mkutano wa dunia wa asasi za ukaguzi wa mahesabu ya serikali na ndipo alihojiwa na waandisjhi wa habari kuhusu taarifa za ukaguzi zilizotolewa na ofisi yake. Tusifikiri kuwa media za wenzetu ni kama hizi za hapa nyumbani zinazokubali kuwekwa kwapani. Asingeweza kusema uongo
  8. B

    Kimaadili ya Kihasibu: Je, CAG alikuwa sahihi?

    \Kitendo vha Taarifa ya CAG kusomwa bungeni na kujadiliwa imeshakuwa Public
  9. B

    Kimaadili ya Kihasibu: Je, CAG alikuwa sahihi?

    Kwakuwa CAG alikuwa katika mkutano unaohusu mambo ya ukaguzi wa mahesabu ya serikali wa dunia hangewezaje kusema uongo kwa waandishi wa habari waliohoji taarifa zilizotolewa na ofisi yake? Tunafikiri media za wenzetu ni kama hizi za hapa nyumbani zinazokubali kuingiliwa? Nimesoma hapo juu sion...
  10. B

    Katika awamu hii ya ujenzi wa Stiegler's Gorge ni aibu mteja wa TANESCO kucheleweshewa kuunganishiwa nishati ya umeme kwa sababu ya uhaba wa nguzo

    Tokea kuingia madarakani Novembe 2015, Serikali ya awamu ya Tano chini ya Rais John Pombe Magufuli imejikita katika utatuzi wa changamoto mbali mbali zilizokuwa zikiikabili tasnia ya uzalishaji na usambazaji wa nishati ya umeme. Ndani ya kipindi kifupi cha miaka 3 tu changamoto za taifa...
  11. B

    Masha: Kweli Fastjet inadaiwa lakini mamlaka zingeshirikiana nami ili zilipwe

    Macho umeyasema yote walichomba TCAA ni business plan, cashflow, balance sheet etc for the 12 months wajiridhishe juu ya uwezo wa Fastjet kumudu gharama za kurusha passenger flights ikiwemo matengenezo, vipuri na consumables. Pia hata benki wangeomba nyaraka hizo hizo ili wajiridhishe kuhusu...
  12. B

    Masha: Kweli Fastjet inadaiwa lakini mamlaka zingeshirikiana nami ili zilipwe

    Hizi deal zilikuwa ni za awamu zilizopita. Mtumishi wa umma angepigwa M 500 na Fastjet ingeondoka kimya kimya na hela za watoa huduma Bil 6. Not in this era. Hapa ndipo ninapompa Magu sakute jurejesha naadili ya utendaji wa umna
  13. B

    Masha: Kweli Fastjet inadaiwa lakini mamlaka zingeshirikiana nami ili zilipwe

    Shirika kama limeshindwa kummaintain "Accountable Manager" na baada ya aliyepo kuresign limeshindwa kurecruit mwingine litawezaje kuendelea kurusha ndege? Unajua dababu za yeye kuresign? Kwanini wameshindwa kurecruit nwingine hadi mwekezaji mwenye taaluma ya sheria ajiteue kuwa aviiation expert...
  14. B

    Masha: Kweli Fastjet inadaiwa lakini mamlaka zingeshirikiana nami ili zilipwe

    Mchezo hapa ni mzawa kaingingizwa ili Bil 6 isilipwe. Ingejuwa xamani hilo lingewezekana sio awamu hii ya utendaji kwa kuzingatia maadili
  15. B

    Masha: Kweli Fastjet inadaiwa lakini mamlaka zingeshirikiana nami ili zilipwe

    Mimi mwenyewe nimejitolea kuitetea TCAA kwa sababu ya kadhia nilixowahi kupatia toka Fastjet. Ndio maana naunga mkono kauli ya Waziri Kamwele kuwa Fastjet imetusumbua kwelikweki
  16. B

    Masha: Kweli Fastjet inadaiwa lakini mamlaka zingeshirikiana nami ili zilipwe

    Nia ya kulipa madeni haipo ndio maana issue hii inageuzwa kuwa ya kisiasa. TCAA imetamka wazi wazi kuwa wakitekeleza matakwa ya kisheria kupitia nyaraka za fedha walwalizotakiwa kupeleka biashara itaendelea. Ndege iliyozuiliwa na TCAA kutokana na haya madeni sio inayofanya safari tena hapa...
  17. B

    Kazi ya TCAA siyo kusimamia madeni ni kusimamia anga la Tanzania, inaidai Fastjet milioni 300 tu

    Hivi unataka kusema hii sheria imetungwa maalum kwa Masha? Kama kubebwa kabebwa sana kwakuwa ni mzawa. Moja ya ndege anayoiombea kibali tar 24/12/2018 iliingia na kuanza kazi mapema zaidi bila kupata kibali cha mamlaka husika, hii ilifuatia Fastjet kushindwa kuwalipa wamiliki wa ndege walizokodi...
Back
Top Bottom