huu ni ujinga kabisaaa,,twataka mambo ya kifahari wakt uwezo huna ya nn?haruc co lazima watu wanywe mpaka wasaze huu ni ulimbukeni kabisa andaa shughli kulingana na uwezo wako uliokuwa nao,,,
dah pole sn kaka,,,pili mskuru sn mungu wako kwani amekujulisha mapema yota hayo b4 hujafunga ndoa,,kaa tulia kwanza ucfanye uamuzi wowote ule kwa sasa muombe sn mungu huku ukijitahidi kusahau hayo angalau ni ngum kwa mara moja,,,acha kabisaa kwa sasa maswala ya DNA
mrudie mungu wako hoply...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.