Namimi nilimpigia,alipata ajali akavunjika mkono,mpaka sasa bado mkono wa kulia unasumbua hata vidole havifanyi kazi vizuri,naamini Kuna madaktari humu watamshauri,lakini pia tumuwezeshe ndugu zangu katika kipindi hiki kigumu kwake!
Singano pole na majukumu,nakubali sana kazi zako,hii simulizi Kuna kipindi ilikuwa nikiikosa nakosa amani kabisa,nafikiri Mimi ni mmojawapo wa mwanzo kununua,lakini kwangu naona inaanza kukosa ule mvuto wa mwanzo,hata nikiikosa mwezi naona kawaida tu,nafikiri steringi roma anapoteza mvuto,ngono...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.