inonekana mkuu haufatilii sana mambo.
written interview ya watu waliomba nafasi za utawala imeshafanyika tokea tarehe 17/11/2012. na shortlist iliwekwa kwenye website ya chuo. Pia interview ya waliomba nafasi za ASSISTANT LECTURE / TUTORIAL imefanyika tarehe 26/11/2012 na majina mpaka leo...
Hao bwana wbabaishaji. maana hilo sio tangazo la kwanza kwa upande wangu kuliona na mimin kutuma maombi lakini sikuwahi kuitwa kwenye intavyuu hatan siku moja
sio hizo tu hata ya afisa ushirika , afisa biashara. Hii ndo Tanzania bwana. nakumbuka nilishawahi kuwasilisha mada kuwa kuna baadhi ya nafasi tume ina tangaza lakini ina ajjili watu bila kuitwa kwenye intavyuu kwa kutumia database ya waliofanya intavyuu ya NAO. swali la kujiuuliza hiyo DATABASE...
Mkuu majina mengine hakuna na hizo post zilitoka kitambo /mapema tu. ila so wewe tu ambaye hujaona jina lako mimi pia sijaona jina langu na nakumbuka kabisa niliomba ASSISTANT ACCOUNTANT II katika chuo kilichopo hombolo na NILITAZAMA HAYO MAJINA ZAIDI YA MARA TATU.
USHAURI WANGU
Kama jina lako...
WAUNGWANA HABARI ZA ASUBUHI
nina andika habari hii huku nikiwa na machungu kabisa kwani na mimi ni muhanga wa haya matatizo ya tume ya ajira. nakumbuka mwaka jana tulipofanya intavyuu ya NAO ( National Audit Office) ambayo ilisimamiwa na tume yetu ya ajira tuli ambiiwa kuwa tumeitwa watu wengi...
huu ni ukweli mtupu. hata mimi nakumbuka hicho kitu kilisemwa na mkubwa kutoka pale tume ya ajira. tena tuliambia na wasimamizi kuwa tunamsubiri huyo mkubwa wao anataka kuongea na sisi KWA BAHATI MBAYA turimsubiri kwa muda mrefu na hatukufanya mtihani paka yeye alivyokuja kuongea hayo maneno...
Mimi nilishapeleka hapo CV zaidi ya Mara mbili lakini hola ni kawatumia tena CV yangu kupitia email yao zaidi ya mara tatu pia bilabila.
Au kuna kujuana maana siku hizi unaweza ukasema mlango wa ofisi uko mmoja kumbe iko miwili WEWEW UKUPITA MLANGO WA MBELE WENZIO WANAPITAM MLANGO WA NYUMA...
MINAONA TUNGE JADILI MADA KAMA ILIVYOLETWA NA MUANZISHAJI BADALA YA KULETA POROJO HIZI NYINGINE.
Hayo maneno tu Lakini hayana utekelezaji.
Kama Hauna Kitu BASI HUWEZI UKAPATA MSAADA WA KITU.
TUKUMBUKE KUWA :
haya maisha tu tusichekane ila tuombeane baraka kutoka kwa...
Hili ndo tatizo la nchi yetu .Shida ya mtu ni faida kwa wengine. hasa sisi watoto wa kajambanani ndo kabisaaa.
nakushauri kama hauna kazi nenda ukafanye kazi usisikilize watu wa humu wengine wanaleta utani na kati ww uko serious
POLE dada yangu. haupo peke bali na mm nimo katika hizo pilikapilika.
Ushauri wangu
Pindi uonapo tangazo usiache kutuma maombi Pia usiache kusambaza barua kama wenzangu walivyo kuambia sehemu tofautitofauti hata kama hawajatangaza.
Hivi ni vita dada yangu tusiache kupambana mpaka tupate...
kwa nini uliomba?
usitubabaishe hauna uwakika wa kupata kwani umeshazoea kupachikwa na jamaa na marafiki zako wa karibu Hata hapo ulipo umewekwa na mtu
najua unatucheka na kutukebehi siye akina kajamba nani ILA ipo siku nasi tutafurahi na kucheka kama wewe
NB: HAYA MAISHA BWANA...
kaka hao waliopata wameshatusahau maana wanajiona wao wameshafika hawakumbuki kuwa katika maisha kuna kupanda na kushuka.
kinancho takiwa tusife moyo tuendelee tu kuhangaika kwa kusambaza barua zetu ipo siku mungu atasikia kilio chetu.
Hata kama Mtu ulikuwa unamsaidia kwa hali na mali ...
Ajira za sasa bwana tunadanganyana tu.
pole kaka hauko peke yako hata mimi nimo kati ya wale waliofanya hiyo interview yao pia nimo kati ya wale wanaoishia kutma barua nyingi ila kuitwa kwenye interview ni nadra kama maskini kula pilau ya kuku wa kienyeji
sisi masikini tutabaki tu kuangaika kwa kusambaza bahasha ila kazi hamna. watoto wao ndio wanaofaidika na hii nchi .
huo ni mfano tu.
Angalia wanavyotuzunguka kwa uongozi ; yaana kama baba alikuwa mbunge , waziri , raisi Mtoto naye huandaliwa kufuata nyayo hizohizo. utazani sisi wengine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.