Search results

  1. Mwaisa1202

    Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

    Mapambano yanaendelea japo nimepunguza kasi kaka maana chance za transfer bila kujulikana ni kipengele ndugu yangu. Mungu akipenda nataka kurudishi shule mwaka huu mwishoni. Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
  2. Mwaisa1202

    Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

    Umehadimika sana bro Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
  3. Mwaisa1202

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    AJIRA B.O.T Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
  4. Mwaisa1202

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Kaingia cha kike bora angesoma kozi ya afya, kajichanga kwelikweli Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
  5. Mwaisa1202

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Pole sana kiongozi Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
  6. Mwaisa1202

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Bora picha yake waitoe tu maana akiiona itakuwa inamchoma sana Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
  7. Mwaisa1202

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Kuna nafasi ya Examination officer ii (General-hawakuweka somo) ilikiwa na post mbili kama Registration officer ii, naona hapo wajaitwa, shida inaweza kuwa nini au ndio wamekadwa wote ila sidhan?
  8. Mwaisa1202

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    WALE WATUMISHI MLIOCHOKA HALMASHAURI ...FURSA HIYO
  9. Mwaisa1202

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Kugumu sana huku...ila bora nusu kuliko kukosa kabisa
  10. Mwaisa1202

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Jamaa atakuwa anachanganya kati ya warden na Janitor, wajukumu yao kama yana fanana hivi ,ila elimu ya chini ya kuwa Warden ni degreee (salary ni PGSS 6 sawa na 1.2M) na wakati Janitor elimu ya chini ni diploma na uanza na salary ya hiyo laki 8. Mfano SUA wanawatumia sana ma Janitor, ma warden...
  11. Mwaisa1202

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Hongera sana je ulifanya taasisi gani? uhusiano upo kwa tafsiri isiyo rasmi umefaulu usaili yaani upo katika kundi la waliopata juu ya 50 oral, kwahiyo itategemea taasisi uliyofanyia usaili inataka watu wangapi na wewe kati ya hao mliofanya oral na kupata 50+ wewe ni wangapi, kama taasisi...
  12. Mwaisa1202

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Tutorial assistant hawanaga database.
  13. Mwaisa1202

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    PSRS wana msiba, huyu sijui ni kitengo gani aiseee, Mungu asaidie asiwe yule IT wetu wa kutupia ma PDF Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
  14. Mwaisa1202

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Naona TAA wameanza kuajili wao wenyewe, watoto wa masikini tutakoma tembelea page ya mabumbe uone tangazo Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
  15. Mwaisa1202

    Uwiano sahihi kati ya mchanga na cement mfuko mmoja kwa ajili ya kuchapia nyumba

    Unaposema 1:3 unamaanisha mfumo mmoja wa cement, je hiyo 3 nini, ndoo za mchanga, dololi au ndoo kubwa? Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
  16. Mwaisa1202

    Jirani anataka kujenga nyumba Yake Kwa kutumia fensi yangu

    Hata fensi unatakiwa kuacha mita mbili? Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
  17. Mwaisa1202

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Inatia moyo kwakweli ingekuwa hivi toka enzi za kitenge wengi tungekuwa tupo asalini. Maana sasa wanachofanya ni kukomba data base kwanza mpaka waishe ndio watangaze ajiria nyingine labda tu hilo tangazo kama halina mtu database(waliopata 50+) ndio wanatangaza direct Sent from my M2006C3LG...
Back
Top Bottom