Search results

  1. W

    Nacte second admission ni kwa private institution au hata govment, msaada wakuu

    Nimekutana na hili tangazo website ya nacte sasa lina nipa utata lina husu institutions zp private tuuu au na govment msaada wakuu
  2. W

    Diploma ya ualimu kusoma degree ya md

    Wadau msaada naomba kujuzwa kama ni kweli mtu akisoma diploma ya ualimu kwa masomo kama physics na mathematics au chemistry na bios anawez kwenda kupiga degree ya medical doctor . Natanguliza shukran zangu wakuu
  3. W

    msaada nacte wakuu

    Habari za muda wakuu naombeni msaada kila niki log in kwenye profile yangu nacte wananiambia no user name and password matched you are entry mwaka jana ilikua...
Back
Top Bottom