Habari zenu wana jamii?
Mimi ni mwanaume mwenye sifa zifuatazo:
1.Nina 34yrs.
2.Maji ya kunde.
3.Kimo ni wastani(mrefu kiasi).
4.Mwembamba(sio sana ni mwili wa mazoezi).
5.Nimesoma hadi darasa la saba.
6.Sina kazi kwasasa(naunga unga tu ili siku ziende).
7.Kabila ni Mkinga(Mahanji)...
Sichagui aina ya kazi,elimu yangu ni darasa la saba,hivyo nahitaji kazi yoyote.
Napatikana Ubungo Dar es Salaam.
Nitafurahi ombi langu likipokelewa vizuri na kupata kazi.
Itapendeza sana nikipata sehemu inayofikika kwa urahisi kutoka Ubungo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.