Vituko vya january ila si makambako
Hiki ni kipindi ambacho ongezeko la watu wanaongea peke yao huku mjini huongezeka kwa kiasi kikubwa.
Wale wadada wa nyumbani ni kipindi chao kuacha kazi majumbani hii ni kutokana na malimbikizi kibao ya mishahara yao
Embu jaribu kuongezea na zako hapa...
Heri ya mwaka mpya wana JF hongera sana kwako kwa kuweza kuiona hii siku ya leo na pole sana kwa wale ambao bado ni wagonjwa naamini kwa MUNGU muweza watapata nafuu.
Mimi mwanafunzi wa chuo fulani hapa Mwanza na nipo mwaka wa pili sasa tamaa yangu kubwa sana mpaka hivi sasa Ni kuwekeza katika...
Yapo maswali mbalimbali tukiwa tukijiuliza hali ya uchumi TANZANIA inaendaaje nazani kupitia huzi huu naamini kwamba wapo economists wengi tu ambao wanaweza kabisa kutujibu maswali yetu kushare kile walichonacho kuhusiana na tendence ya uchumi hapa kwetu karibu tuwe pamoja
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.