Habari zenu wana jamii Sina uandishi mzuri ila mnivumilie, lengo la kuleta hapa hili suala ni ili kutoa alert kwa vyombo vyetu viongeze umakini haswa..
Ilikuwa hivi leo niliamka asubuhi kama kawaida kuna mtu nilikuwa na appointment nae Temeke Tandika Mimi nilitokea sehemu inaitwa Mwandege ni...
Kutokana na hii sintofahamu ya idadi ya wapiga kura kuwa 29M, ushauri wangu wawepo watu nje kila kituo wanahesabu idadi ya watu wanaingia kupiga kura ili jumla ya wapiga kura wote tuijue ili wakichakachua tujue.
NB: NEC wajue kuwa Watanzania sio wale wa miaka hiyo; sasa hivi wataachwa uchi kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.