Mkigoma, umenena vema, hasa slaa utadhani alizaliwa ili awe Rais!!! anafanya hivi kwa kuwa uzee umekwishamfika ana miaka 65 akiukosa 2015, mwaka 2020 atakuja na mkongojo.
akiongea na waandishi katika ofisi ya lumumba shigela amesema millya amechukua uamuzi uamuzi wa kujivua gamba ni utekelezaji wa kukisafisha chama. alisema martin shigella katibu wa ccm vijana taifa.
mwasisi wa chadema edwin mtei anahitaji kupewa ushauri wa kinasaha na si kumlaumu na kumtolea kauli za kumdhalilisha, kwani ugonjwa huu wa udini unaomsumbua Mtei, dawa dawa yake ni ushauri na nasaha si kumlaumu au kumtusi.
Kimefanyika kikao cha watu watatu Mbowe, Slaa, na Mtei (cha siri) kilichoketi kuhakikisha Zitto anafukuzwa katika chama.
Inadaiwa ni kwa sababu ya kupingana na mpango wa chama hicho wa kuhakikisha wanatetea maslahi ya 'wakubwa ndani ya chama' na hasa katika katiba mpya inayokuja.
Kitendo cha...
muungano ukivunjika, Tanganyika nayo igawanywe kwa kufuata dini, wakristo wapotelee bara waislam wabaki pwani, tatizo la hawa wakristo wanasukumwa na udini.
nyie simlikuwa mnajaza watu kwenye mikutano? vipi tena unasema kuwa watu hawakujitokeza hao ni wafuasi wa chadema, vijana wengi huwa wanashindwa kutunza shahada ya kupigia kura, wanajaa kwenye mikutano hawana shahada.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.