Baada ya kuona taarifa ya kamanda Muliro iliyolenga kutukamata sisi wateja wa madada poa na sio wao makahaba imeniuma sana. Sijashangaa sana kukamatwa sisi maana ni mwendelezo wa kile ambacho kimekua kikiendelea siku zote.
Kuna baadhi ya makahaba wenye tamaa na na sio waadilifu kwenye kazi zao...
Kijana mwenzetu mwanajamii huyu tupo naye kitaani tuki-hustle for good life, ni mototo wa kishua ila hakutegemea vya wazazi anataabika apate vyake ni jambo jema tulimpongeza kwa hilo.tulishauriana mengi kwenye harakati za kufikia levo flani za maisha hakuwa na nongwa wala majivuno kijana huyu...
Salamu sio muhimu sana i hope amani imetawala
Niko na girlfriend wangu me naishi Dar na yeye yuko mkoani huyu manzi sijajuana nae jana bali kitambo sana tumesoma wote primary baadae familia yake ikajaga kuhama na kwenda mkoa wa mbali kidogo lakini wakati hayo yote yanatokea hatukuwa wapenzi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.