Nchi iko kwenye mgogoro wa nishati na chakula wabunge wanagombana tu. Uvumilivu wa kisiasa wanaodai akina Lissu si wauonyeshe wao kwanza basi. Huu ni upuuzi. Wanachojua ni kimbelembele cha kukimbilia Tarime kuzuia mazishi na kujihusisha masuala mengi yanayowapa cheap publicity. Hii nchi...
Let us not look at things in a narrow sense. We need to look at this in a broader perspective and address the issue accordingly because it is not only the Ministry of Energy that has been involved in such gross misconduct. Serikali na sisi kama watanzania tujadili namna ya kumaliza matatizo kama...
Nadhani we need to be very careful kwakweli bse maneno yanayosemwa hapa JF yanaleta hisia tofauti na yanaweza ku-influence perceptions za watu wa kada mbalimbali kuanzia lawmakers, policy makers, donors, business community, investors mp aka a common man. Personally am always afraid to carry the...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.