Nimeipenda sn hiyo anachokutoa pongezi kwa walioandaa tamasha la Fiesta na kumtuza hiyo tuzo, anampa Jk pongezi kwa jambo lipi zuri alilomfanyia? kweli ni haki yake kuzomewa.
Safi sn NCCR- na CHADEMA kwa ushirikiano muliouonesha jana Bungeni, nina imani tukiungana kuwa kitu kimoja tutaweza kuwadhibiti mafisadi wa CCM,naomba kazeni msuli muweze kutukomboa sisi wananchi wanyonge.
Siilewi tukusaidieje? maana umesema kila mwanamke istoshe mpaka ndugu zako, hivyo basi unahitaji maombi makali kaka. dah sijui ulizaliwa muda gani kwa hiyo tamaa yako ni balaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.