Search results

  1. M

    Hongera kwa JK zasababisha Bushoke kuzomewa tamasha la Fiesta

    Nimeipenda sn hiyo anachokutoa pongezi kwa walioandaa tamasha la Fiesta na kumtuza hiyo tuzo, anampa Jk pongezi kwa jambo lipi zuri alilomfanyia? kweli ni haki yake kuzomewa.
  2. M

    Mbowe, Kunahitajika mkakati wa haraka Bungeni

    Safi sn NCCR- na CHADEMA kwa ushirikiano muliouonesha jana Bungeni, nina imani tukiungana kuwa kitu kimoja tutaweza kuwadhibiti mafisadi wa CCM,naomba kazeni msuli muweze kutukomboa sisi wananchi wanyonge.
  3. M

    Sharobaro maana yake nini?

    Wanaume shombe shombe wenyekupenda kujilemba sn kama mabinti tunaweza tukawaita mashoga japokuwa wanaekeiti.
  4. M

    Kupenda Ngono

    Siilewi tukusaidieje? maana umesema kila mwanamke istoshe mpaka ndugu zako, hivyo basi unahitaji maombi makali kaka. dah sijui ulizaliwa muda gani kwa hiyo tamaa yako ni balaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.
Back
Top Bottom