Hakuna sehemu nimesema mimi ni mzoefu wa Ndoa.
Nilichoeleza ni msimamo na kiapo changu kuhusu familia niliyoiwaza wakati nipo mtoto.
Sasa naona faida yake
Kabla ya kuoa Walisema kupata mwenye Bikra ni changamoto, nikapata.
Wakasema, kuishi na mke baada ya kuoa ni kazi, nikaoa.
Wakasema, Mwanamke akishazaa inapoteza hamu naye, wangu anawatoto wawili, mpaka sasa mapenzi yanapamba moto.
Sasa mnasema kuanzia miaka 10 kwenda ishirini kuna changamoto...
Mughonile.
Niliapa sitaharibu ambacho hakijaharibika au kuharibiwa. Sitaondoa Bikra kama sitamuoa huyo Mwanamke. Kama una bikra basi nisingekuchezea lakini kama umejiharibu au kuharibiwa nilijipa uhalali wa kuendelea kufanya uharibifu.
Niliapa sitokuja kuoa Mwanamke asiye na Bikra hata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.