Mwenyekiti wa leo alikuwa mbumbu kweli hata kuwasha mike alikuwa anapata shida mda mwingine anaongea bila kuwasha... Hii inaonye ni jinsi ccm imejaa wababaishaji
Mwenyekiti wa leo alikuwa mbumbu kweli hata kuwasha mike alikuwa anapata shida mda mwingine anaongea bila kuwasha... Hii inaonye ni jinsi ccm imejaa wababaishaji
Mwenyekiti wa leo alikuwa hawezi kuendesha bunge coz kuwasha mike yake alikuwa hajui mda mwingine alikuwa anaongoza bunge bila kuwasha mike yake,mi nadhani alikuwa mbumbu mpaka yakatokea yote hayo!lmheshimiwa lukuvi alitumia busara kuwatuliza wabunge lakini m/kiti hakuelewa kabisa jinsi ya...
Hali ilikuwa ngumu leo mpaka m/kiti akaaita maafisa usalama wa bunge kumtoa mbunge wa upinzani nje aliye kuwa akiomba mwongozo kuhusu kupata mda wa dharula ili mweshimiwa lisu awasilishe ushahindi wake..baada ya hapo umeme ulikatika hatukuona kama alitolewa au laa..kamaa kuna habari zaidi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.