Kama kichwa kinavyojieleza,
Miaka ya Sasa kumekuwa na kasumba kubwa Sana kwasisi wakristo hasa siku za ibada(Jumamosi na JUMAPILI),watu tumekuwa tukivaa MAVAZI ya UFAHARI KWENDA kuwaonyesha watu badala ya kuupeleka moyo kwa ajili ya utakaso...
Hii ipo kwa asilimia kubwa kwa wanawake,Yan...
Kama kichwa cha Habari kinavyo jieleza hapo juu, miaka ya hivi karibuni wasanii wa nyimbo za injili wamekuwa wakitoa nyimbo nyingi zakusifu mazuri, kama vile maisha mazuri na pesa n.k, tofauti na Miaka ya zamani wasanii wengi walikuwa wakitoa nyimbo za maonyo, nyimbo zakukemea dhambi, nyimbo ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.