Habari na kheri ya mwaka Mpya JF japo stress zimetawala.
Naomba kwenda katika point direct, NSSF Mtwara kuna wahudumu wachache huwa wanaenda Mapokezi na kupiga Picha Namba za simu za wateja walioingia pale hiyo Siku katika kitabu cha wageni na kisha kuwapigia huku wakinukuu personal information...
NIDA Kuna Jambo linaendelea katika simu za Wananchi ambao Hawajasajiliwa na hata kujiandikisha ili Wapate Namba Ya Uraia Wa Tanzania, Nalo ni Wanapokea Ujumbe Wenye namba za Uraia tokea NIDA na wanafurahia kufikiria Mumeamua kuzigawa kwa Mtindo huo Pasipo jiandikisha ama lah na Mwisho wa siku...
Habari za saa hii hapa JF,
Naomba nisaidiwe kufahamu hiki kipindi ambacho mtu anakuwa katika upande wa amepata maambukuzi ya Virusi Vya Ukimwi lakini bado ule muda wa mwezi mmoja mpaka mitatu bado haujafika (Muda huu akipima kipimo kinaonesha NEGATIVE) Je, anaweza kuambukiza kwa mtu mwingine...
Habari za Jumapili wandungu wa JF
Niko hapa ninamaanisha na naomba msaada.
Jana nilikua na shemeji yenu mpya tupo katika tendo ambalo nilichukua takribani dakika 67 bado sijamaliza na baada yakufika dakika ya 68 nikamaliza.
Kilichonitatiza mpaka nakuja hapa ni baada ya kuchomoa tu ukamtoka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.