Hakika huu wimbo umenikumbusha mambo mengi nikiangalia nchi inavyoenda hakuna ustawi ktk jamii,uzalendo,haki,amani na tumaini letu linazidi kupotea kwa kukosa utashi kwa baadhi ya viongozi,rushwa kila kona,uonevu wa kila namna,Uhuru hamna na watanzania kupoteza tumaini kutokana na hali ya...
Salamu wana jf!
Naleta kwenu maombi ya ajira mnisaidie mdogo wenu.
Mimi ni kijana wa kiume.
Umri wa miaka 24.
Makazi_Kibondo
Elimu;Diploma ya Tehama
Lugha;Kiswahili,English
Nipo mbele yenu hapa kuomba msaada wa ajira au kibarua chochote kitakacho nisukuma nitimize malengo yangu ya kupata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.