ahsante ila mi nimewasiliana na hao watu kuna mtu akainijibu tena kiswahili akaniambia yeye ni mtz anafanya kazi hapo chuoni nimtumie vyeti yangu pamoja na dola 70 kama application fee atanisaidia nimepatwa na wasiwasi kidogo,sijui kama ni muamini au la?
i work under this company ni wanyonyaji balaa nusu ya mshahara wako ni wa kwao kila mwezi mpaka utakapoamua kuacha kazi,then wanalipa kwa masaaa makato yao ni balaa,kama huna pa kwenda kabisa just go but kama unapa kujishkiza for now usipoteze muda wako hawa jamaa ni stress tupu,
hi guys nina degree ya linguistics natafuta kazi hasa za zinaaoendana na writing skills kama vile editing,translation na proofreading wapi ntapata kazi hizi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.