Huyu ni mmoja wakuu wa jeshi katika vita vya Kagera nil I of appreciate na mfano bora. Wengine ni Mayunga, Mboma. Mboma namna alivyokuwa anasanifu ndege za kivita za jeshi, nilimwona uwanja wa ndege Zanzibar akizisanifu ndege angani. Kubwa kuliko yote huko Uganda alipotekwa na ndege za jeshi za...
Wewe Zito Kabwe tangu Mbowe akutimue Chadema unaonekana kuweweseka huna hoja za mashiko, kwani raisi kufanya sapraiz ateki kwenye taasisi vibaya si moja ya kazi zake? Mkuu wa taasisi ataendeleza alipoishia raisi!
EBALE hao viongozi wa uamsho wamefànya mambo mabaya sana Unguja. Kila mikutano yao huishia fujo, amani hutoweka kwa kuchoma makanisa na kuwatia hofu imani nyengine, haya hayasemwi, kwa takuwa zao hao uamusho walimuua padri huko Beit-ras bila sababu yoyote, pia walimpiga risasi padri kwenye geti...
Kishada ni mawazo yako na Kizibao ni mawazo yake, Kishada usilazimishe mawazo yako ayakumbatie Kizibao. Hata mimi nasema Jamshid au jamaa zake hawatokuja kurudisha ufalme wa kiarabu hapa visiwa vya Zanzibar sahau kabisà bwana Kishada. Jumuia ya Kimataifa haitashughulika na upuudhi wa Maalimu...
Lisu hana jipya, mwulizeni Dr Kigwangala maana ndo alikuwa daktari wake UGONJWA WA AKILI. Kuna kipindi alikuwa anaunga mkono bungeni anapiga meza kwa mikono yake mpaka inaharibika. Akili za Antipas haziko sawa
Naandika kwa herufi kubwa: ZANZIBAR IMEWEZA SANA SANA KUONDOA NA KUPIGA MARUFUKU MIFUKO YA PLASTIKI KAMA SI 100% BASI NI ZAIDI YA 90%.
NASHANGAA TANZANIA BARA WAMESHINDWAJE KUPIGA MARUFUKU MIFUKO HII YA PLASTIKI? INACHAFUA SANA MAZINGIRA UTAONA KILA PAHALA MIFUKO HII IMEZAGAA KAMA KWAMBA HAKUNA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.