Search results

  1. The mgusi

    Nafasi za Kazi TRA

    We ni mpuuzi . Acha kukurupuka. Ingia website ya TRA upande wa news and updates.utaona hilo Tangazo la ajira.
  2. The mgusi

    Naomba kujua mshahara wa TGS D Ni sh.ngapi kwa mchumi daraja la II

    huyu atakuwa aina ya watu wabishi wale ambao walikuwa hawaelewana na incharge wao. so ikitokea safari hapewi kumkomoa . hivyo kaona asepe tu. pale mzee napajua . dereva tu anamkimbiza daktari wa halmashauri parefu sana.
  3. The mgusi

    Nimesomea Maendeleo ya Jamii ila mfumo wa Ajira Portal unanigomea kuomba kazi ya Ustawi wa Jamii cha kushangaza wanataka mtu aliyesomea Sociology n.k?

    maendeleo ya jamii na ustawi wa jamii mbona vitu viwili tofauti. ndio maana wameweka qualifications.. subir ajira za maendeleo ya jamii utaomba. ambapo hata mtu wa ustawi wa jamii hawezi kuomba.
  4. The mgusi

    Naomba kujua mshahara wa TGS D Ni sh.ngapi kwa mchumi daraja la II

    hiyo Ofisi ya Mkaguzi mkuu wa hesabu za Serikali (NAOT) acha kabisa watu wanakula per diem hadi wanakimbia.hao safari nyingi sana. huyo kwa mwezi kukunja mil 4 kitu kidogo sana. pamoja wanalipa na TGS.
  5. The mgusi

    Naomba kujua mshahara wa TGS D Ni sh.ngapi kwa mchumi daraja la II

    nimeweka hivyo kwa maana sio wote wanakatwa loan board, pia kuna vyama vya wafanyakazi, bado mikopo bank ukianza ajira.
  6. The mgusi

    Naomba kujua mshahara wa TGS D Ni sh.ngapi kwa mchumi daraja la II

    TGS D 1 basic salary - 710,000 PSSSF - 35,000 NHIF-21,300 PAYE-46,740 TAKE HOME -606,960
  7. The mgusi

    Matokeo ya Operationa Officer TPA

    nina mshakaji wangu huu mwaka wa 7 anahudhuria paper za utumishi anafeli . Mungu mwema kapita hii ya OPERATION OFFICER.katika hao 50. na amesoma law. pia hana connection yoyote. naimani atapata nafasi.
  8. The mgusi

    Tax Management Officer II vs Custom Officer II

    https://www.jamiiforums.com/index.php?threads/1536090/ https://www.jamiiforums.com/index.php?threads/1341227/
  9. The mgusi

    Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imewaita kazini vijana 1,453 kati ya 2,100 baada ya kupata kibali cha Rais Samia

    Mkeka unatoka leo saa nne asubuhi. Pia katika zile nafasi 1100 wameongeza hao 300 .maana yake wataongeza walioachwa before kwenye database.
  10. The mgusi

    Hili lina ukweli kuhusu waliopata 49-45 written interview ya TRA?

    Video hii mkeka unatoka leo saa nne.
  11. The mgusi

    Sekretarieti ya Ajira/serikali itupe ufafanuzi kuhusu hili la ukosefu wa ajira katika taasisi za serikali

    Kiswahili kigumu . Wamesema vibali vilivyopokelewa ni 2100 kwa TRA ,265 wahandishi Tamisemi ambazo nafasi hizo zinatarajiwa kutangazwa muda si mrefu ila itategemea na uhitaji wa database yao na nafasi 508 TRC ambao wamepangiwa vituo vya kazi.
  12. The mgusi

    Maswali ya interview Mbeya cement

    Mkuu huna matumaini na TRA nini??
  13. The mgusi

    Hili lina ukweli kuhusu waliopata 49-45 written interview ya TRA?

    Mfano nafasi za kazi TRA zilikuwa 1097 walioitwa written interview jumla ni 13000 hiyo ni ratio ya 1:11. Swala la kufaulu written kwenda oral hajalishi Ratio muhimu ifikie lengo la wahitajika. Mfano nafasi kama ni 100 wakaitwa oral 200 haijalishi watenda tu kupambana huko huko. Nakuangalia...
  14. The mgusi

    Hili lina ukweli kuhusu waliopata 49-45 written interview ya TRA?

    Mfano nafasi za kazi 100 ,walikuwa shortlisted ni 800 hiyo ni ratio ya 1:8 na waliofaulu ni 200 kwenda oral kati ya nafasi 100 kati ya watu 800 haizuii usahili kuendelea maana yake ile ratio ya 1:8 tayari imefanyika hata kama sio 1:3. Shida wabongo nafasi zikiwa 100 wakaitwa watu 10,000 utasikia...
  15. The mgusi

    Hili lina ukweli kuhusu waliopata 49-45 written interview ya TRA?

    Hii haiwezekani kuchukua below 49.5 kwa utumishi . Ninavyoelewa ile ratio ni kwenye written tu na sio Oral . Pia jambo hili likitokea litaharibu image ya Utumishi maana itakuwa mara ya pili sasa kwa sahili za TRA. And why ile TRA tu pia kumbuka vijana wametumia gharama kubwa kuanzia written hadi...
  16. The mgusi

    Kubadilika kutoka “selected for oral interview” kuwa “shortlisted interview”

    Mkuu hiyo ratio huwa ni kwenye written sio oral.
  17. The mgusi

    Kubadilika kutoka “selected for oral interview” kuwa “shortlisted interview”

    Ukifka eneo la tukio unakaguliwa vyeti na kitambulisho, unakabadhi simu zako zote na saa smart kama unayo kwa wahusika kwa kuandika majina yako ,unapangiwa eneo la kusubiri usahili kama chumba maalumu ,zamu yako ikifika unaelekea chumba cha usahili kufanyiwa usahili wa mahojiano ukimaliza...
Back
Top Bottom