Njaaa Haifai jaman. Dhambi ya usaliti haitamuacha salama mtulia... watu walijitolea hawakulala ghafla kawageuka... eee mungu ebu onesha ghadhabu yako juu ya mtu huyu.. tunapenda matendo yako yajidhihirishe machon kwetu mapema ili watesi wetu wajifunze... onesha ishara zako kama ulivoonesha zama...
Mwaka Jana mwezi Disemba kamati kuu CCM iliteua tume inayoongozwa na wanachama makini na wenye uweledi ni sio tia shaka.Tume iliundwa ili kuchunguza na kufanya tathmini ya Mali za chama ambazo zimetumika kama revenues.
Sasa Rais, kuna uonevu mkubwa unaofanywa na CCM wilaya ya Unguja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.