Amani iwe nanyi, Serikali hii ilituaminisha watanzania kuwa imekamata vichwa vya treni bandarini ambavyo havina mwenyewe. Juzi waziri wa uchukuzi mh mbarawa akasema Serikali imenunua vichwa hivyo kwa bei nafuu.
Swali langu ni kwamba unawezeje kununua kitu hakina mmiliki? Pesa unamlipa nani? Au...
Ccm ni nani nchi hii mpaka watushikie akili watanzania mamilioni? Njia pekee iliobaki kuilinda amani ya nchi hii inayotoweka ni kudai tume huru ya uchaguzi
Amani I we nanyi, kwa muda mrefu sasa tangu kuanza mfumo wa vyama vingi mwaka 1992 kumekuwa na malalamiko kwamba tume ya uchaguzi( NEC) haipo huru. Malalamiko haya yana ukweli ndani yake, kwani tume yetu ya uchaguzi pamoja na wasimamizi wa uchaguzi wamekua wakiteuliwa na MTU mmoja ambae pia ni...
Amani iwe nanyi, nimesikitishwa na viashiria vya jeshi letu la wananchi wa tanzania ( jwtz) kujiingiza kwenye siasa. Kwa mujibu wa katiba yetu ya mwakà 1977 yenye viraka lukuki jeshi letu halipaswi kuegemea chama chochote.
Tumeshazoea kuona jeshi la police likijipambanua kuwa wao ni ccm damu...
Amani iwe nanyi, cku zote msema kweli ni mpenzi wa mungu nami nasema kweli ya kwamba police ndio waliofanya vurugu tarehe 16/02/2018 na hatimae kusababisha kifo cha dada yangu akwilina. Maana naona zinafanyika jitihada kubwa kupotosha ukweli.
Umma wote wa Tanzania wanafahamu ukweli huu kwamba...
Paskali umenishangaza unajua na umekiri wazi mahakama haipo huru na tunajua majaji wanateulewa na mwenyekiti wa ccm. Sasa chadema wakafungue kesi wapi? Mbinguni mm nawashauri chadema waandae maandamano nchi nzima
Paskali umenishangaza unajua na umekiri wazi mahakama haipo huru na tunajua majaji wanateulewa na mwenyekiti wa ccm. Sasa chadema wakafungue kesi wapi? Mbinguni mm nawashauri chadema waandae maandamano nchi nzima
Paskali umenishangaza unajua na umekiri wazi mahakama haipo huru na tunajua majaji wanateulewa na mwenyekiti wa ccm. Sasa chadema wakafungue kesi wapi? Mbinguni mm nawashauri chadema waandae maandamano nchi nzima
Paskali umenishangaza unajua na umekiri wazi mahakama haipo huru na tunajua majaji wanateulewa na mwenyekiti wa ccm. Sasa chadema wakafungue kesi wapi? Mbinguni mm nawashauri chadema waandae maandamano nchi nzima
Paskali umenishangaza unajua na umekiri wazi mahakama haipo huru na tunajua majaji wanateulewa na mwenyekiti wa ccm. Sasa chadema wakafungue kesi wapi? Mbinguni mm nawashauri chadema waandae maandamano nchi nzima
Paskali umenishangaza unajua na umekiri wazi mahakama haipo huru na tunajua majaji wanateulewa na mwenyekiti wa ccm. Sasa chadema wakafungue kesi wapi? Mbinguni mm nawashauri chadema waandae maandamano nchi nzima
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.