Wasalaam aiseh Mr Michael Mkwanzania@, mada yako imenivuta na kunivutia sana haswaa mpangilio wa mada,matukio nk.
Lakini yote ya yote waswahili wanasema, "mwenye mali hana akili na mwenye akili hana mali "
hivyo ni wakati sasa wa kila mmoja wetu kutambua uwepo wake duniani maana hakuna...
Aiseh calculator ni tamu sana kwakuiangalia ikiwa na mahesabu ya makisio matharani ma figure ya sufulisufuli yakigeuka kuwa reality basi unaweza ukaamka ukizani umekuwa tajiri kumbe ilikuwa ni makisio ya JF uliokuwa umeota ndotoni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.