Naona mashabiki hoyahoya wa Simba wanalalamika eti GSM anaharibu ligi yetu kwa kudhamini klabu nyingi.
Baada ya kushindwa uwanjani mabwana wale wamehamia kwa GSM kumlaumu anadhamini timu nyingi.... wakati SportPesa anadhamini Simba, Yanga, Namungo na Singida mbona hukusikia hizi kelele...
Jografia ya nchi yetu ndio inafanya mtu acheze game 3 mfululizo ugenini au nyumbani. Mfano una game na Prisons Mbeya unataka urudi Dar badala umalizane na Ihefu kabisa ?? Au una game na Kagera Sugar lazima umalizane na Mashujaha kabisa. Huwezi kwenda Kagera then urudi dar halafu uende tena Kigoma
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.