Tukiendekeza mambo haya ndugu zangu nchi haitakwenda kabisa yaani just imagine kuna watu walikuwa wanamipango ya kuchoma hata nyumba yao wenyewe ili waopate populality kwa society nawakumbusha kuna maishsa baada ya kampeni.
Membe asubili 2025 Kwan mwenyekiti hawezi kukubali kung'oka
Na pia akitaka amfuate bosi wake Mheshimiwa Waziri mkuu mstaafu bwana lowasa kule uchagani nako kuna shida nani agombee kati ya lowasa, nyalandu&sumaye sasa naye akajiongeze huko labda lakini kwa sasa mmmmmh 2020 Magu kama kawa...
Nazan hapa kama unajua serikali ndio wamemteka bas toa ushahidi wapelekee familia yake upate 1b yako uendeleze maisha yako just tuzungumze kwa facts kama unajua ni serikali bas wasaidie familia yake ambao mpaka sasa hawajui aliyemteka
Kuhusu acacia nazan wewe unamawazo mazuri sana kuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.