Wakuu nimekutana na hili gazeti Superstar ingawa la muda kidogo (20 April 2012) na moja kati ya habari picha yao imenivunja mbavu nikaona si vibaya kuShare nanyi.
Soma maelezo ya picha kwa makini. Sasa sijui tunakuwa na haraka sana au hakuna editor au ndiyo tumejizoesha kudownload habari...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.