Baada ya kuona usaidizi na ushauri wanaopata wenzangu ,nikaonelea ni vyema nami nipate ushauri kwa manufaa yangu. Nafikiria kufungua biashara ya books n stationery mjini songea, mwanipa ushauri gani kuhusu biashara hii au ni biashara gani yenye faida na bora kuliko nilio ifikilia. Naomba...
Aslm alykm, mimi ni mgeni hapa na nimependezwa sana na jf kwa kazi hii yenu,na nawaombea mungu kwa taaluma na mwelekeo muutoao kwa mapenzi ya raia sote. Ni juzi nilipojiunga na jf nimengi yalonivutia japo sijajuwa kufuatilia uzuri mwendo wa kutumia simu yangu hapa jf. Mfano mada nzuri nzuri za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.