Jamani mnatupigia kelele khaaa... Tumewaelimisha siku zote tofauti ya flying over na intersection lakini hamtaki kuelewa. Acheni kuwalisha matanga kichaa watanzania wasioelewa
Watu hawana pa kusemea anapotekea mtu anawasemea basi huyo ndio huwa mkombozi wao. Kama media zingeachwa kuwa huru Mange asingejulika na mtu. Unyanyasaji na uonevu wa serkali hii wataibuka akina Mange wengi sana. Mi nafikiri busara yako hii ungeelekeza kumshauri yule PIMBI wa magogoni na sio...
Hakuna hoja ya kujibiwa hapo maelezo mengi lakini huna jipya... Watu wanauawa Kila kukicha Halafu unasema Mange anaondoa sifa nzuri ya TZ, ipi hiyo? Wakati mwingine mkaage kimya huyo malaika wenu mkuu keshaichafua nchi yetu.
Kama vichaa wanaufahamu mkubwa kuliko wazima wa akili, basi, Taifa hili linahitaji vichaa zaidi kuliko wewe uliye mzima. Halafu wakati mwingine piga kimya mwanangu... jamaa yenu hasafishiki amejaa damu za watu.
Maendeleo katika Taifa hili yataletwa na viongozi wazalendo na wenye dira ya tuelekeako, viongozi watakao tuleta pamoja na sio kutugawanya. Ni kwa bahati mbaya Sana katika karne ya 21 kutaka kuwafunga watu midomo ili utawale utakavyo wewe bila kufuta sheria IT'S A BIG NO sio kizazi hiki. Mazuri...
Sababu zilizonifanya kujiunga JF wakati ule ilikuwa ni kupata mawazo mapya na kujifunza kwa wanajua zaidi, lakini sasahivi yameibuka MAZWAZWA (in zitto's voice) yanamwaga pumba mwanzo mwisho. Kwani lazima kupost!? Piga kimya mwanangu
Na vipi ule waraka wa kanisa lake, je, nao pia Ni upande wa Lowassa? Nyie ndio mnamfanya huyo JPM kuvimba kichwa. Matatizo yaliyopo hapa nchini kwasasa Ni zaidi ya ulichoandika
Ni nani asiyejua kwamba hizo nchi ulizotaja ndio zinazoisaidia TZ kuanzia kula, kulala na matibabu!? Matangazo mengi kwa radio ni msaada wa watu wa marekani... Sasa kama wanatoa msaada wanashindwaje kujua hali zenu?tunakukaribisha tarehe 26-04-2018 jitokeze kupaza sauti dhidi ya ukandamizaji
Hivi huko Lumumba wenye akili Sawa wameisha kabisa? Aliyekuambia ni kinyume cha sheria nani? Wasingezuia maandamano nani angekufa? Mtutu wa nini kwa watu wasio na silaha?
Mkuu asante sana kwakumjibu huyu kiumbe wa shetani, ameokoteza Maneno ya mtaani nakuyaleta humu. Naomba usimjibu tena maana hata kaa aelewe Kama ameshindwa kuelewa alipokuwa Marekani wewe hutoweza kumuelimisha
Ben Saanane aliuza swali kama hili, lakini badala ya kujibiwa wakamteka mpaka leo hajulikani alipo.
Tuna viongozi wa ajabu sana ukiwakosoa unaitwa mchochezi, usipowashangilia unaambiwa sio mzalendo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Akitokea mtu akakemea hili ataitwa mchochezi na si mzalendo, inaelekea Kuna kundi maalum lipo kutumaliza raia Wema ili wapate kutawala bila kuhojiwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ushakuwa muhariri wa JF kujua lipi liongelewe na lipi lisisemwe au headline ikae vipi. Tuliotaka kujua mtoa mada anasema nini tumejua, kazi kwako kuchangia au kukaa kimya
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa bahati mbaya sana wachangiaji wengi wamejikita kwenye chuki, fitna na dhihaka. Walio wengi kwenye mada hii Ni wale walikosa VISA au hawana uwezo wa kusafiri nje ya nchi na wenye uwezo huo ni waoga kujaribu au hawajui waanzie wapi.
Diaspora wa ulaya na Marekani wanachukiwa na watanzania...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.