Dr Slaa ninaye mjua amekuwa anaishi kwa kukopa akiwa katibu mkuu wa chadema. Amekuwa mkopaji mzuri sana kwa jamaa mmoja anaitwa Erasto Tumbo ambaye ana taasisi ya kukopesha.
Cha kushangaza leo anadai wanataka kujenga shule na hospitali tena kutokana na michango ya marafiki.
Marafiki hao...
Umenena mkuu tatizo huyu mama anakera sana. Ana malengo yake mfukoni dhidi ya Dr Silaa na anaona ni lazima yatime kwa njia yoyote ile.
Asipoacha ujinga lazima tumnyookee asiturudishe nyuma
Ukweli ni kwamba Josephine ni tatizo kwa Dr Slaa, kinachoendelea sasa ni kwa sababu mzee wetu ameshashikwa na hawezi kujitoa tena lakini Kingekuwa na Sheria ya watu wa nje kutenganisha ndoa/uchumba basi hii ya Dr Slaa ilipaswa kutenganishwa. Najaribu kufikiria kama Dr Slaa anaenda Ikulu na...
Kwa namna mazungumo yanavyo endelea ni dhahiri kwa namna yoyote ile mgombea wa urais kupitia UKAWA atatoka Chadema.
Vigezo
1. Chadema ndio chama chenye mtandao mkubwa uliopenya mpaka Vijijini kwenye ngazi ya msingi miongoni mwa vyama vyote vilivyo katika ukawa. Hakuna ubishi kwamba baada...
Chadema ina bahati mbaya sana watu kutoka Kigoma sijui tatizo ni nini kwa watu hao?!
On hii historia.
1. Walid Kibour huyu alikuwa katibu mkuu wa chama tena aliye rudishwa nyumbani na kina Mbowe na Ndesamburo tokea USA ili aje agombee jimbo la Kigoma mjini.
Akawatenda Chadema sasa hivi...
Kwa statement hii tu huyu dada hajui anakuja kufanya nini na inawezekana huyo upara mdogo hajamuambia UKWELI kuhusu Bongo na uchovu wa watu dhidi ya serikali ya Makamba aliye tuletea sheria kandamizi ya habari na mitandao hivi karibu.
Msome hapa
"...Nigerians said no to corruption and...
Mkuu aminia. Huwa nikiona umetia mguu najua nitaondoka na madini! Deo Meck yuko China anaandika matamko ya kijinga.
Tumekuwa wapole sana! Tuna nyanyapaliwa as if sisi tumekosa nguvu ya kwenda peke yetu! Tumehitaji Ushirika na wenzetu wao wanawaza majimbo bila hata ya kuwa wameyafanyia kazi...
Mkuu hii mijamaa ni mijinga mpaka leo Chadema tuna mikutano zaidi ya 480 tangu kuanza kwa Mwaka na bado Dr Slaa na Salum wako field wanajenga chama.
Wao wanataka wapewe mezani kama mgonjwa aliyelazwa hospital. Hatutaki huo ujinga kama wanataka kusepa walipaswa kuondoka kabla ya jana...
Huyo Deo ni mjinga! Nyambambe alipewa milioni 20 na chama aende Serengeti kujenga chama na kushinda kwenye uchaguzi wa SM bado akarudi na kitongoji kimoja na Chadema ikazoa vijiji, vitongoji na Mitaa lukuki.
Yaani leo wanataka wapewe jimbo kama zawadi kama jinsi yeye anavyotaka apewe Tarime...
Ndio maana huwa kinasimamia misingi. Chadema ni muunganiko wa jasho, damu na maisha ya watu. Ni mpango wa Mungu ndio maana hata hila za kuifuta kwa kesi za ugaidi na ndoto za kina Wasira zimeshindwa.
Umesha anza kupanic mkuu. Mamvi alikuwa Arusha, Dr Slaa raisi ajaye alikuwa Momba mkoani Mbeya. Dr alikuwa ana hamasisha watu wakajiandikishe kwenye daftari la kudumu la wapiga kura wakati Lowasa alikuwa amenunua watu wa kumjazia uwanja ili atangazie taifa kuwa wanapaswa kuishi kwa matumaini...
Mtaweweseka sana Mwaka huu. Na tutausubiri kwa hamu mdahalo huo ili tupate majibu ya kujengwa barabara chini ya kiwango na yeye kuwa kinara wa kusababisha nyumba za Serikali kuuzwa na matokeo yake watumishi wengi wa serikali kutaabika kwa kupanga kwenye mahoteli.
Hivi walau akili inakutuma...
Mkuu tofauti ya ccm na Chadema kwenye kuandaa mikutano mikubwa ni kwamba.
Mkutano mmoja wa ccm ukigharimu 1M kuandaa Chadema wanatumia laki mbili pekee na matokeo huwa mara mbili ya ile ya ccm.
Kalenga pamoja na kuiba kwao bado walitumia 1Bilioni kushinda uchaguzi.
Mkuu hiyo kauli ni pigo sana kwa mamvi, yeye kwa kuwa anaishi kwa matumaini alijuaja nchi nzima inapaswa kuwa ya matumaini?! Hapa ni mwendo wa uhakika.
Safari ya uhakika ndio mpango mzima sio unasafiri kwa matumaini kwenye magari uliojaza MAFISADI
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.