Hello!
Naomba msaada wa jinsi ya kuingiza app mpya katika tablet ya sumsung p1000,maana najaribu kuingiza inakataa pamoja na kuwa nimesha set email kwenye device,naona inanidai certificates,,sielewi,
aksante..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.