hio ni ya toka 2010, ya zamani sana. jaribu ku update hizo playstore (itakuwa imeandikwa market) kama itakubali.Hello!
Naomba msaada wa jinsi ya kuingiza app mpya katika tablet ya sumsung p1000,maana najaribu kuingiza inakataa pamoja na kuwa nimesha set email kwenye device,naona inanidai certificates,,sielewi,
aksante..