Sasa ulitaka raisi mpore kwenye nchi ya mafisadi. Wakat mwingine tukumbuke tulipitoka tuache lawama. Mbona makontena yaliyopotea mlikaa kimya. Muwe na uchubgu na nchi yenu
zazibar iliungana na tanganyika ambayo ilikufa mojakwa moja na raisi wa tanganyika akajigeuza kuwa wa muungano. kwa sasa ni zazibar na serekali ya muungano kwani tanganyika tumeshaizika na kaburi lake tumechoma moto.
napata wakati mgumu kamini zanzibar kufuta kipengere cha nchi!! navyojua wao wanataka mamlaka huru sasa mkija na mambo mengine mtaweza kusababisha matatizo aisee tuwe makini na hili.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.