Search results

  1. makeyzan

    Mapokezi ya ndege mpya ya ATCL eneo la Terminal One-JNIA

    Majitu mengine hata serikali ifanyaje hawawezi kupongeza. Hatukua na ndege sasa tumenunua tunaponda tuache roho mbaya
  2. makeyzan

    Rais Magufuli waite wapinzani wako ujue wanachotaka

    Sasa ulitaka raisi mpore kwenye nchi ya mafisadi. Wakat mwingine tukumbuke tulipitoka tuache lawama. Mbona makontena yaliyopotea mlikaa kimya. Muwe na uchubgu na nchi yenu
  3. makeyzan

    Rais Magufuli waite wapinzani wako ujue wanachotaka

    Hatutaki mafisadi sasa huo utalawa haupo sasa ni mwendo wa kutumbua tuu.
  4. makeyzan

    Rais Magufuli waite wapinzani wako ujue wanachotaka

    Huko kuwa na wapinzan kumesaidia nn? Hawana jipya wasubil 2020
  5. makeyzan

    Rais Magufuli waite wapinzani wako ujue wanachotaka

    Long live mr. Prezidaa tumbua tuu
  6. makeyzan

    Rais Magufuli waite wapinzani wako ujue wanachotaka

    Wapinzani watawatia njaa wao wanawaza ikulu hawana jipya
  7. makeyzan

    Rais Magufuli waite wapinzani wako ujue wanachotaka

    Hiyo huice itawatokea puan
  8. makeyzan

    Rais Magufuli waite wapinzani wako ujue wanachotaka

    Upinzani wanazingua walikuwa wapi mda wote kwanza nao ni mafisadi wasubilie kutunbuliwa
  9. makeyzan

    Historia ya Bendera ya Zanzibar

    kwa hili nimekelewa mweshimiwa naunga mkono hoja.
  10. makeyzan

    Bunge la Katiba Kuahirishwa Wiki Mbili zijazo, Theluthi Mbili zakwamisha Ibara ya kwanza ya Katiba

    bora bunge la bajeti lianze mana mimi nimeshachoka na hili bunge la katiba.
  11. makeyzan

    Kwa dalili hizi, hakuna Katiba Mpya!

    teh teh teh!!
  12. makeyzan

    Yanayojiri Bungeni Dodoma: Jumatano Tarehe 26 Machi 2014

    tutumieni video tuone jaman
  13. makeyzan

    Kwa miaka 47 kati ya 50 ya muungano, Zanzibar haijachangia fedha

    zazibar iliungana na tanganyika ambayo ilikufa mojakwa moja na raisi wa tanganyika akajigeuza kuwa wa muungano. kwa sasa ni zazibar na serekali ya muungano kwani tanganyika tumeshaizika na kaburi lake tumechoma moto.
  14. makeyzan

    Uko wapi Wimbo wa Taifa wa Tanganyika?

    kesho utasikia mnataka na bendera mpya na kuendelea kama ilivyokua zanzibar mpaka wakajitangaza kuwa nnchi. haya mambo magumu sana jamani
  15. makeyzan

    Zanzibar yashauriwa kurekebisha Katiba

    napata wakati mgumu kamini zanzibar kufuta kipengere cha nchi!! navyojua wao wanataka mamlaka huru sasa mkija na mambo mengine mtaweza kusababisha matatizo aisee tuwe makini na hili.
  16. makeyzan

    Kikwete atakaa na Shein kujadili yeye kama rais wa tanganyika au tanzania?

    mimi napitia tuu sina la kusema mana nkmesema sana saaa nimechoka nimekua mtazamaji
Back
Top Bottom